Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+

  • Hesabu 8:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na baadaye Walawi wataingia ndani ili kutumikia katika hema la mkutano.+ Kwa hiyo utawatakasa na kuwasogeza huku na huku kama toleo la kutikisa.+

  • Hesabu 18:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na uwalete karibu, pia, ndugu zako wa kabila la Lawi, ukoo wa baba yako, pamoja nawe, wapate kuungana nawe na wapate kukuhudumia wewe,+ wewe na wana wako pamoja nawe, mbele ya hema la Ushuhuda.+

  • Kumbukumbu la Torati 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Na makuhani wana wa Lawi watakaribia, kwa sababu hao ndio Yehova Mungu wako amechagua wamhudumie+ na kulisifu+ jina la Yehova na ambao kwa kinywa chao kila mzozo juu ya kila tendo lenye jeuri, wapasa kuondolewa mbali.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki