15 Nawe lazima utawatia mafuta kama vile ulivyomtia mafuta baba yao,+ nao lazima watanitumikia wakiwa makuhani, na kutiwa kwao mafuta lazima kutumike kwao kwa kuendelea kukiwa ukuhani mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyao.”+
2 Na uwalete karibu, pia, ndugu zako wa kabila la Lawi, ukoo wa baba yako, pamoja nawe, wapate kuungana nawe na wapate kukuhudumia wewe,+ wewe na wana wako pamoja nawe, mbele ya hema la Ushuhuda.+
5 “Na makuhani wana wa Lawi watakaribia, kwa sababu hao ndio Yehova Mungu wako amechagua wamhudumie+ na kulisifu+ jina la Yehova na ambao kwa kinywa chao kila mzozo juu ya kila tendo lenye jeuri, wapasa kuondolewa mbali.+