22 Mara tu baada ya jambo hilo Walawi wakaingia ndani ili kuendeleza utumishi wao katika hema la mkutano mbele ya Haruni na wanawe.+ Kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa kuhusu Walawi, ndivyo walivyowafanyia.
9 Je, ni jambo dogo sana kwenu ya kwamba Mungu wa Israeli amewatenga+ ninyi mbali na kusanyiko la Israeli ili kuwaleta ninyi kwake mpate kuendeleza utumishi wa maskani ya Yehova na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia,+