Hesabu 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, mnaona ni jambo dogo sana kwenu kwamba Mungu wa Israeli amewateua ninyi miongoni mwa Waisraeli+ wote na kuwaruhusu mumkaribie ili kutumikia katika hema la Yehova la ibada na kusimama mbele ya Waisraeli wote ili kuwahudumia,+ Hesabu Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 16:9 w00 8/1 10-11 Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:9 Mnara wa Mlinzi,8/1/2000, kur. 10-11
9 Je, mnaona ni jambo dogo sana kwenu kwamba Mungu wa Israeli amewateua ninyi miongoni mwa Waisraeli+ wote na kuwaruhusu mumkaribie ili kutumikia katika hema la Yehova la ibada na kusimama mbele ya Waisraeli wote ili kuwahudumia,+