Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 1:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Walawi wanapaswa kupiga kambi kuzunguka hema la Ushahidi, ili hasira yangu isiwawakie Waisraeli;+ na lazima Walawi wawajibike kulitunza* hema la Ushahidi.”+

  • Hesabu 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+

  • Hesabu 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Huu ndio utumishi wa wana wa Kohathi katika hema la mkutano.+ Unahusiana na vitu vitakatifu kabisa:

  • Kumbukumbu la Torati 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Wakati huo Yehova aliliteua kabila la Lawi+ ili libebe sanduku la agano la Yehova,+ lisimame mbele za Yehova ili kumhudumia, na kubariki katika jina lake,+ kama linavyofanya mpaka leo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki