Hesabu 1:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Unapaswa kuwaweka rasmi Walawi wasimamie hema la Ushahidi+ na vyombo vyake vyote na kila kitu kilichomo.+ Watabeba hema hilo na vyombo vyake vyote,+ nao watalitunza+ na kupiga kambi kulizunguka.+ Hesabu 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+ Hesabu 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ni lazima uwatenge Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli, nao Walawi watakuwa wangu.+
50 Unapaswa kuwaweka rasmi Walawi wasimamie hema la Ushahidi+ na vyombo vyake vyote na kila kitu kilichomo.+ Watabeba hema hilo na vyombo vyake vyote,+ nao watalitunza+ na kupiga kambi kulizunguka.+