Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 8:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Jambo hili linawahusu Walawi: Mwanamume mwenye umri wa miaka 25 na zaidi atajiunga na wale wanaotumikia katika hema la mkutano.

  • Hesabu 18:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Pia walete ndugu zako wa kabila la Lawi, kabila la mababu zako, ili wajiunge nawe na kukuhudumia wewe+ pamoja na wanao mbele ya hema la Ushahidi.+ 3 Wanapaswa kutimiza majukumu utakayowapa na utumishi wa hema lote.+ Hata hivyo, hawapaswi kukaribia vyombo vya mahali patakatifu na madhabahu, ili wewe pamoja nao msife.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Walitimiza pia majukumu yao kuhusiana na hema la mkutano, mahali patakatifu, na kuhusiana na ndugu zao wana wa Haruni katika utumishi wa nyumba ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki