1 Mambo ya Nyakati 23:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni alitengwa kando daima+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wanawe, ili watoe dhabihu mbele za Yehova, wamhudumie, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+
13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni alitengwa kando daima+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wanawe, ili watoe dhabihu mbele za Yehova, wamhudumie, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+