Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.

  • Mambo ya Walawi 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi mtakula kile kidari cha toleo la kutikisa+ na ule mguu wa lile fungu takatifu+ katika mahali safi, wewe na wanao na binti zako pamoja nawe,+ kwa sababu vimetolewa kuwa posho lako na posho la wanao kutoka katika dhabihu za ushirika za wana wa Israeli.

  • Hesabu 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Na kila mchango+ wa vitu vyote vitakatifu+ vya wana wa Israeli, ambavyo watapeleka kwa kuhani, vitakuwa vyake.+

  • Hesabu 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hilo litakuwa lenu kutoka katika vitu vitakatifu zaidi, kutoka katika toleo linalotolewa kwa njia ya moto, kila toleo lao pamoja na kila toleo lao la nafaka+ na kila toleo lao la dhambi+ na kila toleo lao la hatia,+ ambalo watanirudishia. Ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yako na wana wako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki