Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.

  • Mambo ya Walawi 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya dhambi yake ambayo ametenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa; nao utakuwa wa kuhani+ sawa na toleo la nafaka.’”

  • Ezekieli 44:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki