3 Na kilichobaki kutokana na lile toleo la nafaka ni cha Haruni na wanawe,+ kama kitu kitakatifu+ zaidi kutoka katika matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.
13 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya dhambi yake ambayo ametenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa; nao utakuwa wa kuhani+ sawa na toleo la nafaka.’”
13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?