Mambo ya Walawi 27:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na wakati shamba hilo litakapotoka katika Yubile litakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova, kama shamba lililotolewa wakfu.+ Kuhani atalimiliki.+ Hesabu 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kila kitu kilichotolewa katika Israeli kinapaswa kuwa chako.+
21 Na wakati shamba hilo litakapotoka katika Yubile litakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova, kama shamba lililotolewa wakfu.+ Kuhani atalimiliki.+