Kumbukumbu la Torati 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Usipande shamba lako la mizabibu aina mbili za mbegu,+ mazao kamili ya mbegu hiyo ambayo huenda ukapanda na mazao ya shamba la mizabibu yasije yakatwaliwa na patakatifu. Ezekieli 44:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+
9 “Usipande shamba lako la mizabibu aina mbili za mbegu,+ mazao kamili ya mbegu hiyo ambayo huenda ukapanda na mazao ya shamba la mizabibu yasije yakatwaliwa na patakatifu.
29 Toleo la nafaka na toleo la dhambi na toleo la hatia—hao ndio watakaokula hayo.+ Na kila kitu kilichotolewa katika Israeli—kitakuwa chao.+