Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+

  • Mambo ya Walawi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Litaliwa na kila mwanamume kati ya makuhani.+ Katika mahali patakatifu litaliwa. Ni kitu kitakatifu zaidi.+

  • 1 Samweli 2:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye alichaguliwa kwa ajili yangu kutoka kwa makabila yote ya Israeli,+ awe kuhani na kupanda juu ya madhabahu+ yangu ili afukize moshi wa dhabihu, avae efodi mbele zangu, ili niipe nyumba ya babu yako matoleo yote ya wana wa Israeli yaliyotolewa kwa njia ya moto.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula+ vitu vya hekalu, na wale wanaohudumu+ daima kwenye madhabahu hupata fungu lao wenyewe pamoja na madhabahu?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki