Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa sababu ya dhambi yake ambayo ametenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa; nao utakuwa wa kuhani+ sawa na toleo la nafaka.’”

  • Mambo ya Walawi 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na ule unaobaki, Haruni na wanawe wataula.+ Utaliwa kama keki zisizo na chachu+ katika mahali patakatifu. Wataula kwenye ua wa hema la mkutano.

  • Hesabu 18:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hilo litakuwa lenu kutoka katika vitu vitakatifu zaidi, kutoka katika toleo linalotolewa kwa njia ya moto, kila toleo lao pamoja na kila toleo lao la nafaka+ na kila toleo lao la dhambi+ na kila toleo lao la hatia,+ ambalo watanirudishia. Ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yako na wana wako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki