Mambo ya Walawi 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi aliyotenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa.+ Sehemu inayobaki ya dhabihu hiyo itakuwa ya kuhani,+ sawa na sehemu inayobaki ya toleo la nafaka.’”+
13 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi aliyotenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa.+ Sehemu inayobaki ya dhabihu hiyo itakuwa ya kuhani,+ sawa na sehemu inayobaki ya toleo la nafaka.’”+