Mambo ya Walawi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe, kitakuwa kitu kitakatifu kabisa kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazoteketezwa.+ Mambo ya Walawi 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa. Mambo ya Walawi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kila mwanamume kuhani ataila,+ nayo inapaswa kuliwa mahali patakatifu. Ni dhabihu takatifu kabisa.+
10 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe, kitakuwa kitu kitakatifu kabisa kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazoteketezwa.+
6 Kila mwanamume kuhani ataila,+ nayo inapaswa kuliwa mahali patakatifu. Ni dhabihu takatifu kabisa.+