Mambo ya Walawi 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+
10 Na kilichobaki kutoka katika toleo hilo la nafaka ni cha Haruni na wanawe, kama kitu kitakatifu zaidi cha matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto.+