13 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi aliyotenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa.+ Sehemu inayobaki ya dhabihu hiyo itakuwa ya kuhani,+ sawa na sehemu inayobaki ya toleo la nafaka.’”+
16 Haruni na wanawe watatumia unga unaobaki+ kuoka mikate isiyo na chachu, nao watakula mikate hiyo mahali patakatifu. Wataila katika ua wa hema la mkutano.+
9 Hivi ndivyo vitakavyokuwa vitu vyenu kutoka katika matoleo yote matakatifu kabisa yanayochomwa kwa moto: matoleo yao yote, kutia ndani matoleo yao ya nafaka+ na dhabihu zao za dhambi+ na dhabihu zao za hatia+ wanazoniletea. Ni vitu vitakatifu kabisa kwako na wanao.