Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Chochote kinachobaki cha toleo hilo la nafaka kitakuwa cha Haruni na wanawe,+ kitakuwa kitu kitakatifu kabisa+ kutoka kwa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto.

  • Mambo ya Walawi 5:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kuhani atamtolea dhabihu ya kufunika dhambi aliyotenda, yoyote kati ya dhambi hizo, naye atasamehewa.+ Sehemu inayobaki ya dhabihu hiyo itakuwa ya kuhani,+ sawa na sehemu inayobaki ya toleo la nafaka.’”+

  • Ezekieli 44:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wao ndio watakaokula toleo la nafaka,+ dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya hatia,+ na kila kitu kilichotolewa katika Israeli kitakuwa chao.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula vitu vya hekalu, na kwamba wale wanaohudumu kwa kawaida kwenye madhabahu hupata fungu lao kutoka kwenye madhabahu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki