Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Haipaswi kuokwa pamoja na kitu chochote chenye chachu.+ Nimewapa liwe fungu lao kutoka katika matoleo yangu yanayochomwa kwa moto.+ Ni toleo takatifu kabisa,+ kama ilivyo dhabihu ya dhambi na dhabihu ya hatia. 18 Kila mzao wa kiume wa Haruni ataila.+ Ni posho yao ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayochomwa kwa moto.+ Chochote kinachogusa matoleo hayo kitakuwa kitakatifu.’”

  • Mambo ya Walawi 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “‘Hii ndiyo sheria kuhusu dhabihu ya hatia:+ Ni dhabihu takatifu kabisa.

  • Mambo ya Walawi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kila mwanamume kuhani ataila,+ nayo inapaswa kuliwa mahali patakatifu. Ni dhabihu takatifu kabisa.+

  • 1 Wakorintho 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Je, hamjui kwamba watu wanaofanya kazi takatifu hula vitu vya hekalu, na kwamba wale wanaohudumu kwa kawaida kwenye madhabahu hupata fungu lao kutoka kwenye madhabahu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki