-
Hesabu 18:30, 31Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
30 “Nawe unapaswa kuwaambia, ‘Mnapotoa vitu bora zaidi kutoka katika zawadi hizo kuwa mchango, mchango huo wa Walawi utaonwa kama nafaka kutoka katika uwanja wa kupuria na kama divai inayotoka katika shinikizo la divai au mafuta yanayotoka katika shinikizo la mafuta. 31 Ninyi na familia zenu mnaweza kula vitu hivyo mahali popote kwa sababu ni malipo kwa ajili ya utumishi wenu katika hema la mkutano.+
-