-
Hesabu 15:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 na kumtolea Yehova dhabihu inayochomwa kwa moto kutoka kati ya mifugo au kundi—iwe ni dhabihu ya kuteketezwa+ au dhabihu ya kutimiza nadhiri ya pekee au toleo la hiari+ au dhabihu mnayotoa wakati wa sherehe zenu za majira,+ ili kumtolea Yehova harufu inayompendeza*+— 4 ni lazima pia mtu anayetoa dhabihu yake amtolee Yehova sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja* ya unga laini+ uliochanganywa na robo ya hini* ya mafuta ili iwe toleo la nafaka.
-