9 “‘Kila toleo la nafaka linalookwa kwenye jiko au kikaangio au kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+ 10 Lakini kila toleo la nafaka linalochanganywa na mafuta+ au lililo kavu+ litakuwa la wana wote wa Haruni; kila mmoja wao atapokea kiasi kilekile.