Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:20, 21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Hivi ndivyo vitu ambavyo Haruni na wanawe watamtolea Yehova siku ambayo Haruni atatiwa mafuta:+ sehemu ya kumi ya kipimo cha efa moja*+ ya unga laini kama toleo la kawaida la nafaka,+ nusu ya unga huo asubuhi na nusu nyingine jioni. 21 Utachanganywa na mafuta na kuokwa kwenye kiokeo.+ Mtaukanda vizuri kabisa kwa mafuta na kuuleta ukiwa vitumbua vya toleo la nafaka lenye harufu inayompendeza* Yehova.

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waliwasaidia katika kazi ya mikate ya tabaka,*+ unga laini wa toleo la nafaka, mikate myembamba isiyo na chachu,+ keki zilizookwa, unga wa kukandwa uliochanganywa,+ na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki