Mambo ya Walawi 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Hili ndilo toleo+ la Haruni na wanawe ambalo watamtolea Yehova siku ya kutiwa mafuta kwake:+ sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini uwe toleo la nafaka+ daima, nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.
20 “Hili ndilo toleo+ la Haruni na wanawe ambalo watamtolea Yehova siku ya kutiwa mafuta kwake:+ sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini uwe toleo la nafaka+ daima, nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.