Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza.

  • Mambo ya Walawi 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.

  • Mambo ya Walawi 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akatoa lile toleo la nafaka+ na kuujaza mkono wake sehemu ya toleo hilo na kulifukiza juu ya madhabahu, mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi.+

  • Hesabu 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 pamoja na sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki