40 Na sehemu ya kumi ya kipimo cha efa ya unga laini+ uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta yaliyopondwa, na toleo la kinywaji+ la sehemu ya nne ya hini ya divai, vitatolewa kwa ajili ya yule mwana-kondoo dume wa kwanza.
2“‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.
17 Kisha akatoa lile toleo la nafaka+ na kuujaza mkono wake sehemu ya toleo hilo na kulifukiza juu ya madhabahu, mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi.+