Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.

  • Mambo ya Walawi 9:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kisha akatoa lile toleo la nafaka+ na kuujaza mkono wake sehemu ya toleo hilo na kulifukiza juu ya madhabahu, mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi.+

  • Hesabu 15:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 yule anayetoa toleo lake pia atamtolea Yehova toleo la nafaka la unga laini,+ sehemu ya kumi ya efa, uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki