Mambo ya Walawi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu. Mambo ya Walawi 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kisha akatoa lile toleo la nafaka+ na kuujaza mkono wake sehemu ya toleo hilo na kulifukiza juu ya madhabahu, mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi.+ Hesabu 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 yule anayetoa toleo lake pia atamtolea Yehova toleo la nafaka la unga laini,+ sehemu ya kumi ya efa, uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta.
14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.
17 Kisha akatoa lile toleo la nafaka+ na kuujaza mkono wake sehemu ya toleo hilo na kulifukiza juu ya madhabahu, mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi.+
4 yule anayetoa toleo lake pia atamtolea Yehova toleo la nafaka la unga laini,+ sehemu ya kumi ya efa, uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta.