Mambo ya Walawi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake. Hesabu 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 yule anayetoa toleo lake pia atamtolea Yehova toleo la nafaka la unga laini,+ sehemu ya kumi ya efa, uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta.
2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.
4 yule anayetoa toleo lake pia atamtolea Yehova toleo la nafaka la unga laini,+ sehemu ya kumi ya efa, uliotiwa sehemu ya nne ya hini ya mafuta.