Kutoka 30:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nawe utamtia mafuta Haruni+ na wanawe+ na kuwatakasa ili wanitumikie wakiwa makuhani.+ Waebrania 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu huwekwa rasmi kwa ajili yao juu ya mambo yanayohusiana na Mungu,+ ili atoe zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.+
5 Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu huwekwa rasmi kwa ajili yao juu ya mambo yanayohusiana na Mungu,+ ili atoe zawadi na dhabihu kwa ajili ya dhambi.+