Mambo ya Walawi 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “‘Mkitoa toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ inapaswa kuwa ya unga laini usio na chachu, uliokandwa kwa mafuta. Mambo ya Walawi 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Kila toleo la nafaka linalookwa kwenye jiko au kikaangio au kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+ 1 Mambo ya Nyakati 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Waliwasaidia katika kazi ya mikate ya tabaka,*+ unga laini wa toleo la nafaka, mikate myembamba isiyo na chachu,+ keki zilizookwa, unga wa kukandwa uliochanganywa,+ na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.
5 “‘Mkitoa toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ inapaswa kuwa ya unga laini usio na chachu, uliokandwa kwa mafuta.
9 “‘Kila toleo la nafaka linalookwa kwenye jiko au kikaangio au kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+
29 Waliwasaidia katika kazi ya mikate ya tabaka,*+ unga laini wa toleo la nafaka, mikate myembamba isiyo na chachu,+ keki zilizookwa, unga wa kukandwa uliochanganywa,+ na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.