Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 2:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “‘Mkitoa toleo la nafaka kutoka katika kiokeo,+ inapaswa kuwa ya unga laini usio na chachu, uliokandwa kwa mafuta.

  • Mambo ya Walawi 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “‘Kila toleo la nafaka linalookwa kwenye jiko au kikaangio au kiokeo+ ni la kuhani anayelitoa. Litakuwa lake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Waliwasaidia katika kazi ya mikate ya tabaka,*+ unga laini wa toleo la nafaka, mikate myembamba isiyo na chachu,+ keki zilizookwa, unga wa kukandwa uliochanganywa,+ na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki