10 “‘Naye kuhani mkuu wa ndugu zake ambaye kichwa chake kimemiminiwa mafuta+ na ambaye mkono wake umejazwa nguvu ili kuvaa yale mavazi,+ hatakiacha kichwa chake bila kutunzwa,+ wala hatayararua mavazi yake.+
7 Hata kwa ajili ya baba yake au mama yake au ndugu yake au dada yake asijitie unajisi watakapokufa,+ kwa sababu ishara ya Unadhiri wake kwa Mungu wake iko juu ya kichwa chake.