Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja.

  • Kutoka 30:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Nawe utaponda sehemu yake iwe unga laini na kutia kiasi chake fulani mbele ya ule Ushuhuda katika hema la mkutano,+ nitakapojitokeza kwako.+ Yatakuwa matakatifu zaidi kwenu.

  • Matendo 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+

  • Ufunuo 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwana-Kondoo, kila mmoja akiwa na kinubi+ na mabakuli ya dhahabu yaliyokuwa yamejaa uvumba,+ na huo uvumba unamaanisha sala+ za watakatifu.

  • Ufunuo 8:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na malaika mwingine akafika na kusimama kwenye madhabahu,+ akiwa na chombo cha uvumba cha dhahabu; naye akapewa kiasi kikubwa cha uvumba+ ili autoe pamoja na sala za watakatifu wote juu ya madhabahu ya dhahabu ambayo ilikuwa mbele ya kile kiti cha ufalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki