Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “‘Sasa ikiwa hana uwezo+ wa kutoa njiwa-tetere wawili au hua wawili wachanga, basi ataleta sehemu ya kumi ya efa+ ya unga laini kwa ajili ya toleo la dhambi, uwe toleo lake la dhambi. Naye hatatia mafuta+ juu yake wala hataweka ubani juu yake, kwa maana ni toleo la dhambi.+

  • Nehemia 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 naye alimtengenezea jumba kubwa la kulia chakula,+ mahali ambapo hapo kwanza walikuwa wakiweka kwa ukawaida toleo la nafaka,+ ubani na vyombo na sehemu ya kumi ya nafaka, divai mpya+ na mafuta,+ ambavyo ni haki ya Walawi+ na waimbaji na watunza-malango, na michango kwa ajili ya makuhani.

  • Wimbo wa Sulemani 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi, kikiwa kimetiwa harufu ya manemane na ubani,+ pamoja na kila namna ya poda ya marashi ya mfanya-biashara?”+

  • Mathayo 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao walipoingia ndani ya ile nyumba wakamwona huyo mtoto mchanga pamoja na Maria mama yake, wakaanguka chini na kumsujudia mtoto. Pia wakafungua hazina zao na kumtolea zawadi, dhahabu na ubani na manemane.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki