Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+ Ufunuo 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na moshi wa uvumba huo ukapanda kutoka katika mkono wa huyo malaika pamoja na sala+ za watakatifu mbele za Mungu.
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+
4 Na moshi wa uvumba huo ukapanda kutoka katika mkono wa huyo malaika pamoja na sala+ za watakatifu mbele za Mungu.