Zaburi 141:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+ Luka 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na umati wote wa watu ulikuwa ukisali nje katika saa hiyo ya kutoa uvumba.+ 1 Petro 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+
2 Sala yangu na itayarishwe kama uvumba+ mbele zako,+Kuinuliwa kwa mikono yangu kama toleo la jioni la nafaka.+
7 Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia.+ Kwa hiyo, iweni na utimamu wa akili,+ na kukesha kuhusiana na sala.+