42 Ni toleo la daima+ la kuteketezwa katika vizazi vyenu vyote kwenye mwingilio wa hema la mkutano mbele za Yehova, ambapo nitajitokeza kwenu ili kusema nanyi hapo.+
2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.