Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Wakati huohuo akawaweka Walawi+ katika nyumba ya Yehova, wakiwa na matoazi,+ na vinanda+ na vinubi,+ kulingana na amri ya Daudi+ na ya Gadi+ mwonaji wa mfalme na ya nabii Nathani,+ kwa maana amri hiyo ilikuwa kulingana na mkono wa Yehova kupitia manabii wake.+

  • Ufunuo 15:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nikaona kitu mfano wa bahari+ kama kioo iliyochangamana na moto, na wale wanaotokea wakiwa washindi+ kutoka kwa yule mnyama-mwitu na kutoka kwa ile sanamu+ yake na kutoka kwa ile namba+ ya jina lake wakiwa wamesimama kando ya ule mfano wa bahari+ kama kioo, wakiwa na vinubi+ vya Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki