33 Na hawa ndio waliokuwa waimbaji,+ vichwa vya upande wa baba vya Walawi katika vyumba vya kulia chakula,+ wale ambao hawakupangwa katika zamu;+ kwa maana walikuwa na wajibu wa kuwa kazini mchana na usiku.+
16 Daudi akawaambia wakuu wa Walawi wawaweke ndugu zao waimbaji+ wakiwa na vyombo vya nyimbo,+ vinanda+ na vinubi+ na matoazi,+ wakipiga kwa sauti ili sauti ya kushangilia itokee.