1 Mambo ya Nyakati 9:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hao walikuwa waimbaji, viongozi wa koo* za Walawi katika vyumba* vya nyumba hiyo, wale ambao hawakupewa kazi nyingine; kwa maana usiku na mchana walikuwa na wajibu wa kushika zamu zao.
33 Hao walikuwa waimbaji, viongozi wa koo* za Walawi katika vyumba* vya nyumba hiyo, wale ambao hawakupewa kazi nyingine; kwa maana usiku na mchana walikuwa na wajibu wa kushika zamu zao.