15 Kisha Musa akageuka na kushuka kutoka mlimani+ akiwa na yale mabamba mawili ya Ushuhuda+ mkononi mwake, mabamba yaliyoandikwa pande zote mbili. Yaliandikwa upande huu na upande ule.
10 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba+ mawili ambayo Musa aliwapa katika Horebu,+ wakati Yehova alipofanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri.+