5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
29Haya ndiyo maneno ya agano ambalo Yehova alimwamuru Musa afanye pamoja na wana wa Israeli katika nchi ya Moabu mbali na lile agano alilofanya pamoja nao katika Horebu.+
32 si kama lile agano ambalo nilifanya pamoja na mababu zao katika ile siku nilipowashika mkono na kuwatoa katika nchi ya Misri,+ ‘agano langu ambalo wao walilivunja,+ ingawa mimi mwenyewe nilikuwa mume kwao,’+ asema Yehova.”