20 Baada ya hilo akachukua ule Ushuhuda+ na kuuweka katika Sanduku+ na kuiweka ile miti+ kwenye lile Sanduku na kuweka kile kifuniko+ juu ya lile Sanduku.+
9 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba mawili+ ya mawe ambayo Musa aliweka+ humo kule Horebu, wakati Yehova alipokuwa amemaliza kufanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka katika nchi ya Misri.+
10 Hamkuwa na chochote ndani ya lile Sanduku ila yale mabamba+ mawili ambayo Musa aliwapa katika Horebu,+ wakati Yehova alipofanya agano+ na wana wa Israeli walipokuwa wakitoka Misri.+