7 Mwishowe akachukua kitabu cha agano+ na kukisoma katika masikio ya watu.+ Kisha wakasema: “Yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya na kuyatii.”+
24 Mambo haya yanasimama yakiwa tukio la mfano;+ kwa maana wanawake hawa wanamaanisha maagano mawili,+ moja kutoka Mlima Sinai,+ ambalo huzaa watoto kwa ajili ya utumwa, na ambalo ni Hagari.