Kutoka 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Watu hawawezi kuja kwenye Mlima Sinai, kwa sababu wewe mwenyewe tayari ulituonya, na kusema, ‘Wekeni mipaka kwa ajili ya mlima na kuufanya kuwa mtakatifu.’”+
23 Ndipo Musa akamwambia Yehova: “Watu hawawezi kuja kwenye Mlima Sinai, kwa sababu wewe mwenyewe tayari ulituonya, na kusema, ‘Wekeni mipaka kwa ajili ya mlima na kuufanya kuwa mtakatifu.’”+