Kutoka 19:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi Musa akamwambia Yehova: “Watu hawawezi kuukaribia Mlima Sinai kwa sababu tayari ulituonya, uliponiambia, ‘Weka mipaka kuzunguka mlima huu, ili uwe mtakatifu.’”+
23 Basi Musa akamwambia Yehova: “Watu hawawezi kuukaribia Mlima Sinai kwa sababu tayari ulituonya, uliponiambia, ‘Weka mipaka kuzunguka mlima huu, ili uwe mtakatifu.’”+