21 Halafu akaleta lile Sanduku ndani ya maskani na kuweka lile pazia+ la kusitiri mahali pake na kufunga njia ya kuingia penye sanduku la ushuhuda,+ kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
6 Ndipo makuhani wakaliingiza ndani mahali pake lile sanduku+ la agano la Yehova, mpaka kwenye chumba cha ndani kabisa cha nyumba, pale Patakatifu Zaidi, mpaka chini ya mabawa ya wale makerubi.+
7 Ndipo makuhani wakaliingiza sanduku la agano la Yehova mahali pake, ndani ya chumba cha ndani kabisa+ cha nyumba, ndani ya Patakatifu Zaidi,+ chini ya mabawa ya wale makerubi.+