11 Na roho+ ikaniinua juu+ na kunileta kwenye lango la mashariki la nyumba ya Yehova linaloelekea mashariki,+ na, tazama! katika mwingilio wa lango kulikuwa na wanaume 25,+ nami nikamwona katikati yao Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, wakuu wa watu.+