Ezekieli 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na roho ikaniinua juu na kunileta kwenye lango la mashariki la nyumba ya Yehova, lango linalotazama mashariki.+ Hapo langoni niliona wanaume 25, na miongoni mwao kulikuwa na Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, wakuu wa watu.+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:1 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 15
11 Na roho ikaniinua juu na kunileta kwenye lango la mashariki la nyumba ya Yehova, lango linalotazama mashariki.+ Hapo langoni niliona wanaume 25, na miongoni mwao kulikuwa na Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, wakuu wa watu.+