29 ili macho yako yafunguliwe+ kuielekea nyumba hii usiku na mchana, kuelekea mahali ambapo ulisema hivi kupahusu, ‘Jina langu litakuwa hapo,’+ ili kusikiliza sala ambayo mtumishi wako anatoa kuelekea mahali hapa.+
27 Wanauambia mti, ‘Wewe ni baba yangu,’+ na jiwe, ‘Wewe ulinizaa.’ Lakini mimi wamenigeuzia sehemu ya nyuma ya shingo badala ya uso.+ Na wakati wa msiba wao watasema, ‘Simama utuokoe!’+
33 Nao wakaendelea kunipa mimi mgongo wala si uso;+ ingawa walikuwa wakifundishwa, kuamka mapema na kuwafundisha, lakini hakuna hata mmoja wao aliyesikiliza ili kupokea nidhamu.+