13 Naye mchongaji wa mti, ameinyoosha kamba ya kupimia; huinakili kwa chokaa nyekundu; huitengeneza kwa chombo kinachoparuza mbao; naye huendelea kuinakili kwa bikari, na hatua kwa hatua huifanya kuwa kama mfano wa mtu,+ kama urembo wa mwanadamu, ili iketi ndani ya nyumba.+