Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa Labani alikuwa ameenda kunyoa kondoo wake. Wakati huohuo Raheli aliiba terafimu+ zilizokuwa za baba yake.

  • Mwanzo 35:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yakobo akawaambia watu wa nyumba yake na wote waliokuwa pamoja naye: “Iondoleeni mbali miungu ya kigeni iliyo katikati yenu,+ nanyi mjisafishe na kubadili nguo zenu za kujitanda,+

  • Kumbukumbu la Torati 27:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Amelaaniwa mtu ambaye anafanya sanamu ya kuchongwa+ au sanamu ya kuyeyushwa,+ kitu kinachochukiza kwa Yehova,+ kilichotengenezwa kwa mikono ya mfanyakazi wa mbao na chuma,+ na ambaye amekiweka mafichoni.’ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)+

  • Waamuzi 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi akamrudishia mama yake fedha hizo, kisha mama yake akachukua vipande mia mbili vya fedha akampa fundi wa fedha.+ Naye akatengeneza sanamu ya kuchongwa+ na sanamu ya kuyeyushwa;+ nayo ikawa katika nyumba ya Mika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki